Like our Page

Yaliyopo

 

Retreat at Pfarre Gartenstadt

Dear St. Bakhita Community members,

We are all invited to a retreat @ Galvanigasse 1-3, 1210 Wien.

On 16 & 17th March 2018.

Friday: 18:00 - 20:00

Saturday: 9:00 - 20:00hrs

Retreat Master: Fr Nicholas Chileshe from Zambia.Talks will be in English and translated into Germany.All are welcome

**********

For More Details: www-gartenstadt.at

 

KARIBU

 

Karibu katika Jumuiya ya Mt. Josephina Bakhita. Jumuiya ya Wakatoliki Wazungumzao Kiswahili (SSACC) - Vienna Austria.

 

Tumsifu Yesu Kristu! Salamu. Ndugu, Roho Mtakatifu ambaye analihuisha Kanisa ameliwezesha kuanzia wakati wa Pentekoste, kuenea katika mabara yote na kwa watu wa tamaduni na wanaozungumza lugha mbalimbali. Kila mahali Ukatoliki wa Kanisa unawekwa bayana na Waamini Wakristo ambao wanaeleza imani yao. Kanisa Katoliki Vienna linadhihirisha upeo wa Kanisa kutokana na makundi mbalimbali ya waamini yakiwa yameunganika na Askofu mahalia. Jumuiya ya Waafrika Wakatoliki wazungumzao Kiswahili ni moja kati ya makundi hayo. Jumapili kama siku ya Bwana ni siku kuu kwetu. Hapa, sisi hukusanyika kila jumapili kusheherekea Misa takatifu. Huduma nyingine hupatikana pia katika mkusanyiko wetu. Bwana akubariki unapojiunga nasi. KARIBU.

 

WELCOME

 

Welcome to St. Josephine Bakhita Swahili Speaking African Catholic Community (SSACC) in Vienna, Austria.

Praise be to Jesus Christ! Greetings! Brethren, the Holy Spirit who always renews the Church has from the time of Pentecost planted her across the continents, and to people of different cultures and languages. Everywhere the catholicity of the Church is earmarked by the presence of Christian believers who witness their faith. The local Roman Catholic Church in Vienna realises her universality through the diversity of her members united around the local Bishop. The Swahili Speaking African Catholic Community is among several of these communities. Here, we gather each Sunday to celebrate the Sacred Mysteries of our faith with the fullness of our beings. We invite you to come and pray with us, with open arms and open hearts. You would honour us with your presence, prayer and participation in the Eucharistic liturgy. May God graciously guard, guide and bless you and those that you love! WELCOME

Login as member

 

Father Pius Msereti

Father Pius Msereti

 

Watoto wetu

Waamini wetu

 

 
Pin It